June 20, 2014

REDDS MISS IRINGA 2014 
MARTHA John katikati akiwa na washindi wa nafasi ya pili na ya tatu baada ya kutangazwa mshindi wa taji la Redds Miss Iringa 2014 usiku huu katika ukumbi wa St Dominic huku mshindi wa pili ni Elizabeth Titus na mshindi wa tatu ni Fowe Mkuchu

April 1, 2014

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Rukwa  Mhe. Hypolitus Matete (aliyenyoosha mkono) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM Mhe. Abdulrahman Kinana mandahari ya eneo la Ziwa Tanganyika, linalotumiwa na wavuvi katika eneo la Kabwe wilayani Nkasi mkoani humo, Kinana alipokuwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadili nao njia ya kuzitatua katika eneo hilo la Wavuvi leo.


September 12, 2013

Mkutano na Dr.Slaa Ndani ya jiji la Washington DC
 

 
Mkutano na Dr. Willibrod Slaa Jijini Washington DC

Viongozi na wanachama wa CHADEMA DMV wanapenda kuwakaribisha Watanzania wote Kuhudhuria mkutano na Dr. Willibrod Slaa utakaofanyika Siku ya Jumapili September 22, 2013 Mida ya 1:pm Mchana hadi 6:pm

Adress: 1401 Unirvesty Blvd. Langley Park. Md 20783 (Mirage Hall)
Karibuni tuje tujadiliane kuhusu maendeleo ya nchi yetu.

Maelezo zaidi wasiliana na Liberatus Mwang'ombe (240) 423-3331 Baby Mgaza (202) 200-5031,
Hussein Kauzela (614) 653 - 1137

 waTanzania wote mnakaribishwa
Observing A Moment of Silence at the White House
The President, the Vice President, the First Lady, Dr. Jill Biden and White House gather on the South Lawn of the White House to observe a moment of silence to mark the 12th anniversary of the 9/11 attacks. September 11, 2013.

 
A busty masseuse who couldn’t get a job in a health spa because she was too big has now set up a successful business - massaging clients with her 48NN breasts.

Kristy Love, from Atlanta, Georgia in America, spent a year training only to be turned down for a job, but now earns more than a thousand dollars a day ribbing and smothering clients with her massive boobs.

"When I finished massage school, no one wanted to hire me," said Kristy, who is known as BBW Kristy Love.I kept getting asked if I'd be able to stand on my feet all day. People assumed my size would be a disadvantage. No-one ever called me back.
“I decided to give massages from home and then one customer asked if I was going to keep my top on.At first, I was indignant and said I didn't give those kinds of massages,” she explains. “I was ashamed of my body because I was so big.
“But when I realised there might be something in breast massages I put an advert in the local newspaper and the phone began ringing off the hook.
“At first it was difficult to get over my body issues and I would only give massages with the lights off.“But the more compliments I got from my clients, the more my confidence was boosted. It has really helped me get over my low self-esteem.”
But Kristy who is single isn’t ashamed of her size – saying business is booming as a result.Not only does Kristy offer squashing as a service, she also practices body gliding, which involves covering herself in oil and sliding over the customer.
She added:
 "I have to keep an eye out when I'm squashing someone. I look at their feet and their fingers to make sure there is still movement there and they’re still breathing."
"My weight isn't an issue at the moment, but the doctor was concerned that it might be in the future. He said I was at risk of developing high blood pressure, diabetes or heart disease.But that doesn't run in my family so it doesn't bother me. I could be hit by a truck, I can't keep worrying about those things that could happen in the future. I just live each day as it comes."
Her family is also against her vocation – but for different reasons.


"They're totally against it. Obviously it goes against their moral code - they don't understand it. Also, because I'm the biggest in the family, I embarrass them. But no matter how many times they call me 'thunder thighs', I'll never be ashamed of my body.
 

September 11, 2013

OZIL AWASILI KAZINI ARSENAL, KUANZA MAZOEZI LEO
KIUNGO Mesut Ozil amewasili katika klabu yake mpya jana, Arsenal tayari kuanza kumtumikia Arsene Wenger anayekabiliwa na tatizo la wachezaji wengi majeruhi.
 
Mchezaji huyo aliyenunuliwa kwa Pauni Milioni 42 ataanza mazoezi leo makao makuu ya klabu, Colney London kwa mara ya kwanza tangu ahamie akitokea Real Madrid.
Na Wenger anajiandaa kumtumia mwanasoka huyo wa kimataifa wa Ujerumani katika mchezo dhidi ya Sunderland Jumamosi baada ya Tomas Rosicky kurejea kwenye mechi ya timu yake ya taifa akiwa majeruhi.
 
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Jamhuri ya Czech aliumia wakati timu yake ikilala 2-1 dhidi ya Italia na yuko shakani kucheza Uwanja wa Light.
 
Hiyo inaacha milango wazi mno kwa Ozil kuanza kazi Arsenal, licha ya kwanza atakuwa na siku mbili tu kamili za kufanya mazoezi na wenzake kabla ya mechi hiyo.
 
Licha ya msimu kuwa umekwishaanza kwa karibu mwezi mzima, Arsenal tayari ina idadi kubwa ya majeruhi.
source: Sportmail

JOKATE AZUNGUMZIA SHUTUMA DHIDI YAKE KUWA ANA 'DATE' NA LUCCI
 
BAADA  ya  kutuhumiwa  kugawa  uroda  kwa  Lucci  ili  aweze  kuuza  sura  katika  video  mpya   ya  "dada, kaka" , Jokate  ameamua  kufunguka  na  kuzikanusha  tuhuma  hizo....
Huu  ni  ujumbe  wake  alioutoa  instagram.
"Okay leo nimeamua kupitia page yangu ya Instagram ku-address the following pressing matters kwenye ulimwengu wa majungu.


 1. Luciano Gadie Tsere is NOT my LOVER and noooo hatumegani kisela. Na hata kama it were true inakuhusu nini. Sioni ishu. Kwenye Sanaa kuna kitu kinaitwa kuweka uhalisia. 

And that's what we did na KAKA DADA. I respect Lucci. Ni kaka yangu na tunafanya kazi nyingi sana zinakuja. Kuna watu wanefungua mpaka BBM group to discuss me and Lucci and this so called affair. Jamani kuliko maneno tufanyeni Kazi kuendeleza nchi yetu 

2. Sijifanyi mtakatifu. Ila najitahidi kufanya matendo yanayompendeza Mungu. Na kwasababu kama binadamu sina ukamilifu basi only God can really judge me cause ndio anajua moyo wangu kuliko binadamu yoyote yule. Ila I'm a pretty good girl to be honest. Najaribu. 
 Kwa nyinyi walimwengu don't be fooled by my PRETTY BABY FACE I know what I want, am fierce and I don't take trying to tarnish my image easily.

 So kindly don't mess with KIDOTI. Msione mtu mkimya mkajua ndio wa kumuonea. Still waters run deep 

3. Yes there's some guy I'm checking out. Like any other female I deserve love cause I got so much love to give hey. So whoever it is tafadhali tusiharibiane kwa maneno maneno."