March 3, 2013


SHINDA TSH 50,000 KTK MTANDAO WA FRANCISGODWIN.BLOGSPOT

 

Katika  kuadhimisha  miaka 9 ya  kuanzishwa kwa mtandao  huu  wa www.francisgodwin.blogspot.com (mzee wa matukio  daima) tumekuandalia zawadi ya Tsh 50,000 kwa msomaji  bora  wa mtandao  huu kwa mwezi huu wa tatu .

Ili ushinde ni lazima  uingie kila  siku na kila  wakati na kutuma maoni yako kwa  kila siku kwa habari  husika hivyo maoni yako yatahesabiwa na mshindi  wa  kutembelea na kutoa maoni atazawadiwa Tsh 50,000 na mshindi wa  pili Tsh 20,000

Mtandao  huu  unasema ahsante mdau kwa kutufikisha hapa leo

No comments: