Gareth Bale anakaribia kutua Real Madrid
Ujenzi wa jukwaa
kubwa la kutambulishia wachezaji wakubwa wanaosajiliwa na Real Madrid ukiendelea
mapema jana mchana. Inaaminika Real Madrid wapo katika hatua za mwisho za
kumsajili Gareth Bale kwa ada ya uhamisho wa £94m ambayo itakuwa rekodi mpya ya
dunia baada ya ile £80m waliyolipa Madrid kumsajili Cristiano Ronaldo kutoka
Manchester United miaka minne iliyopita.
source:shaffih dauda
No comments:
Post a Comment