September 11, 2013

MKURUGENZI wa Biashara wa Timu ya Sunderland ya nchini Uingereza Gary Hutchinson(kulia) akimkabidhi jezi ya timu yake Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Leonard Tadeo(kushoto) leo jijini Dar es salaam mara baada ya mazungumzo ya awali ya kuimarisha ushirikiano na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa ajili ya kutangaza utalii wa Tanzania nchini Uingereza na vilevile kuendeleza michezo hapa nchini. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii Dkt. Aloyce Nzuki.
SOURCE: mjengwa blog

No comments: