MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Rukwa Mhe. Hypolitus Matete (aliyenyoosha mkono)
akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM Mhe. Abdulrahman Kinana mandahari ya eneo la
Ziwa Tanganyika, linalotumiwa na wavuvi katika eneo la Kabwe wilayani
Nkasi mkoani humo, Kinana alipokuwa katika ziara ya kukagua utekelezaji
wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadili nao njia ya
kuzitatua katika eneo hilo la Wavuvi leo.
No comments:
Post a Comment