January 23, 2013

RAIS DK. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA MAREKANI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Alfonso Lenhardt,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake. 

[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments: