MWANASHERIA Mkuu wa zamani wa Serikali,
Mhe. Andrew Chenge akizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya
Katiba katika mkutano baina yao uliofanyika jana katika ofisi za Tume
hiyo jijini Dar es Salaam na kutoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya. Kulia
ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani.
No comments:
Post a Comment