March 7, 2013

ZOEZI LA KUAGA MWILI YA ASKARI WA USALAMA BARABARANI MUFINDI LIKIENDELEA

Baadhi ya  wafanyakazi  wa  shirika la IDYDC na NURU  Fm wakiwa Mafinga  katika msiba  huo ambao unamhusu  pia mkurugenzi  mtendaji wa shirika  hilo la radio Nuru Fm Bw Nkoma ambae  aliyefarika ni dadake

  RTO Iringa  (kulia) akiwa na askari  wake 

  Mwili  ukiingizwa katika gari kwa ajili ya  safari ya kwenda  Ruvuma kwa mazishi 
  Viongozi  wa jeshi la polisi  wakiaga mwili  huo  wa askari wa usalama  barabarani Lizy Nkoma jana  mjini Mafinga baada ya askari huyo  kuugua.
picha zote kwa hisani ya blog ya francisgodwin

No comments: